Breaking




Wednesday, 13 September 2017

NGWE YA KWANZA KLABU BIGWA ULAYA TIMU ZA ENGLAND LIVERPOOL YASHIKA MKIA

Sungo  blog


 

Tumeshuhudia mechi kali kabisa hapo juma nne na juma tano. Huku timu kubwa balani humo zikiumana meno, mechi ambao ilokua na magoli mengi ikiwa ilee ya Chelsea.  

Hapa nimekuwekea kumbukumbu ya matokeo ya timu Zote za England najua utapenda kusoma wewe mpenzi wa ligi kuu England 



No comments:

Post a Comment