Sungo blog
mshambuliaji Lionel Messi akiifungia bao la kwanza kati ya matatu Barcelona jana Uwanja wa Camp Nou
Jana tarehe 9 septemba timu ya mpira wa miguu ya Hispania barcelona iliingia tena uwanjani na kukupiga na Espanyol. mchezo huo ulimalizika huku barcelona ikiichapa Espanyol 5-0 katika mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 25, 36 na 66 kufikisha hat trick 38 Barcelona, wakati mabao mengine yalifungwa na Gerard Pique dakika ya 84 na Luis Suarez dakika ya 90
No comments:
Post a Comment