Sungo blog
LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mpira umemalizika uwanja wa uhuru Simba SC ikiibamiza Mwadui FC magoli 3-0, Emanuel Okwi akitia kambani goli mbili ,lingine likikwamishwa kambani na John Raphael Boko
Emanuel Okwi amefikisha idadi ya magoli 6 katika mechi mbili alizocheza za ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Full Time :
SIMBA SC 3 MWADUI FC 0
No comments:
Post a Comment