Breaking




Tuesday, 26 December 2017

ORODHA YA WATU 50 WALIOTANGAZWA KUWANIA TUZO YA VIJANA WENYE USHAWISHI ZAIDI TANZANIA

Sungo blog


Avance Media imeanzisha tuzo za vijana wenye ushawishi zaidi hapanchini Tanzania ambapo nyota 50 wametangazwa leo hii kuwania tuzo hizo katika vipengele mbalimbali.

Zoezi la kupiga kura limefunguliwa rasmi leo na mtu yeyote anaweza kupiga kura kupita mtandao wa Avance Media.

Vifuatavyo ni vipengele vya tuzo hizo na wahusika:

ENTERTAINMENT

ALI KIBADIAMOND PLATNUMZJOKATE MWEGELOJOTIRIYAMA ALLYVANESSA MDEEWEMA SEPETU


SPORTS

HASHIM THABITJUMA KASEJAMBWANA SAMATTAMRISHO NGASSASHOMARI KAPOMBETHOMAS ULIMWENGU

MEDIA

BABBIE KABAEBDOZENDINA MARIOSIDRIS SULTANMILLARD AYOSALIM KIKEKE

SOCIAL ENT.& CIVIL SOCIETY

FARAJA NYALANDUIRENE KIWIAJENIFFER SHIGOLINANCY SUMARIREBECA GYUMISAIRA DEWJI


SCIENCE & TECHNOLOGY

EDWIN BRUNOEVANS MAKUNDIFAYAZ VALLIJOHN PAULJUMANNE MTAMBALIKELILIAN MAKOI

BUSINESS

CAROL NDOSIHARUN ELIASHELLEN DAUSENIAN FERRAOKRANTZ MWANTEPELEPATRICK NGOWIYUSUF BAKHRESA

LAW & GOVERNANCE

 ALBERTO MSANDO BENEDICT ISHABAKAKI BONNAH KALUWA FATMA KARUME JEBRA KAMBOLEPETER KIBATALA


LIFESTYLE

 BENJAMIN FERNANDES FLAVIANA MATATA JACQUELINE MENGI MILLEN MAGESE MIRIAM ODEMBA OSSE GRECA SINARE

Bonyeza link hii hapa chini kuweza kupiga kura.

No comments:

Post a Comment