Breaking




Monday, 1 January 2018

VITAMBULISHO VYA TAIFA KUTUMIKA KUPIGA KURA


Sungo blog



Waziri wa mabo ya ndani ya nchi, Mh.Dk Mwigulu Nchemba amesema kuwa mara baada ya kukamilika zoezi la utoaji wa Vitambulisho vya Taifa ( NIDA) inatarajiwa kuwa vitambulisho hivyo vitumike kupigia kura katika chaguzi mbalimbali.

Chanzo: Habari Leo

No comments:

Post a Comment