Breaking




Thursday, 4 January 2018

YANGA YAPATA USHINDI MWINGINE LEO MAPINDUZI CUP

Sungo blog



Klabu ya Yanga imeendelea kufanya vizuri kweye michuano ya Mapinduzi inayoendelea kule visiwani Zanzibar baada ya jioni ya leo kuibuka na Ushindi wa Goli moja kwa Bila dhidi ya timu ya JKU.

Goli hilo pekee kwenye mchezo huo limefunhwa.na Ramadhan Kesyy

Huu ni ushindi wa pili mfululizo kwa yanga baada ya juzi kuifunga.2-1 mlandege Fc

No comments:

Post a Comment