Moja ya habari ambayo imekuwa gumzo ni hii inayotokea Kilimanjaro ambako Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kilimanjaro imemhukumu kifungo cha maisha jela mfanyabiashara wa Madini Benedict Kimario kwa makosa mawili ya ubakaji na ulawiti.
Mtu mmoja amefariki na wengine wanne wa familia moja wamelazwa hospitali baada ya kula muhogo unaodaiwa kuwa na sumu katika kijiji cha Masigati kilichopo Manyoni, Singida.






No comments:
Post a Comment