Breaking




Tuesday, 18 July 2017

WATU 200 Wakamatwa Kwa Tuhuma za Dawa za Kulevya, Unyang’anyi


Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar ES salaam limeendelea kufanya misako na operesheni kali ambapo kuanzia 10/7/2017 mpaka tarde 16/7/2017 limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 200 kwa makosa mbalimbali ya uhalifu.



No comments:

Post a Comment