Breaking




Friday, 25 August 2017

RONALDO AMESHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA UEFA 2016/17,KAWAPIKU MESSI NA BUFFON



Baada ya Shirikisho la soka barani UlayaUEFA leo Alhamisi ya August 24 2017 mjini Monaco Ufaransa kuchezesha droo ya hatua ya makundi ya UEFA Champions League msimu wa 2017/2018, walitangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya 2016/2017.

Nahodha wa timu ya taifa ya Urenoanayeichezea Real Madrid Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya 2016/2017 kwa kumshinda mpinzani wake mkubwa Lionel Messi wa FC Barcelona na golikipa wa JuventusBuffon.


Kutoka kushoto ni Messi, Buffon na Ronaldo

Ronaldo kwa msimu wa 2016/2017 ambapo ameshinda pia tuzo ya mshambuliaji bora 2016/2017, alikuwa na msaada mkubwa kwa club yake yaReal Madrid msimu uliyomalizika lakini ameifungia magoli 12 na kutoa assist 6 katika michuano ya UEFA Champions League.

No comments:

Post a Comment