Breaking




Wednesday, 16 August 2017

Soko la Sido Mbeya linateketea kwa Moto Usiku Huu


Habari zilizotufikia muda huu zinasema kwamba Soko la Sido lililopo Jijini Mbeya linateketea kwa moto Muda huu kama picha hizo hapo juu zinavyoonesha
Bado haijafahamika chanzo cha Moto Huo, na tutaendelea kuwajuza zaidi

No comments:

Post a Comment