Tuesday, 19 September 2017

VIDEO: NIMEKUWEKEA MAGARI 10 GHALI ZAIDI DUNIANI

Sungo blog

Karibu tena msomaji wa sungo blogni siku nyinngine tena, nakuletea orodha ya magari ghali zaidi duniani. Hii ni kama wewe ni mpenzi wa magari ya kifahari.

# Gari linalo shikilia nafasi ya kumi ni gari aina ya ZENON - ST1 Thamani yake ni dola za kimarekani 1.2 millioni. sawa kabisa na 2.6 bilioni za kitanzania.

# Gari Ghali zaidi kwenye orodha hii ni gari aina ya LAMBORGHINI VENENO - ROADSTER, Thamani yake ni dola za kimarekani zipatazo 4.5 milioni sawa kabisa na pesa za madafu shilingi 10 billioni. 

unaweza kuona orodha yenyewe hapo chini............!




No comments:

Post a Comment