Breaking




Friday 6 October 2017

TCU YATAJA IDADI KAMILI YA WALIO CHAGULIWA KUJIUNGA VYUO VIKUU MWAKA HUU 2017/18

Sungo blog



Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetaja idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu awamu ya kwanza ya udahili katika mwaka wa masomo 2017/18.

Kwa mujibu wa Kaimu Katibu Mtendaji wa TCU Prof. Eleuther Mwageni ameeleza kuwa waliochaguliwa kujiunga na elimu ya juu kwa awamu hii ni 44,627 ambao ni 57.4% na waliosalia ni 33,129 ambao ni 42%. Ambao wamesalia hawakuchaguliwa kutokana na ushindani au kukosa sifa katika programu walizoziomba 

No comments:

Post a Comment