Breaking




Tuesday, 28 November 2017

DIAMOND AZUNGUMZIA MATATIZO YANAYOMPATA KWENYE MAISHA YAKE YA MAPENZI KWA NAMNA HII

Sungo blog

Staa wa muziki wa Bongo FlevaNaseebAbdul a.k.a Diamond Platnumz ameachiawimbo mpya wenye simulizi yakinachomshinda katika kuishi maisha yamahusiano ambapo hakuacha kusimuliza juuya tukio lililotokea mpaka kupata mtoto wakewa tatu ‘Prince Abdul’ kwa mrembo HamisaMobetto.

Diamond Platnumz kama ilivyo kawaida yakekuyazungumzia mapenzi kwa malalamiko hakuacha kuwahusisha mtayarishaji wa kazi hiyo Lizer na dada yake Esma jinsi walivyomshauri juaa ya patashika alizokutana nazo katika mapenzi ya wapenzi aliowapenda mpaka kufikia hatua ya kutia nanga nzito kwa mama wa watito wake Zarinah Hassan ‘ZariThe BossLady’

No comments:

Post a Comment