Breaking




Tuesday, 28 November 2017

YAANI BANDIKA BANDUA,DIAMOND AMEACHIA NGOMA YA PILI-"NIACHE" KUTOKA KWENYE ALBUM YAKE




Wakati mashabiki wakingoja albamu yake ya ‘A Boy From Tandale’ Nasib Abdul a.k.a Dimond Platnumz ameachia audio ya ngoma yake iitwayo ‘Niache’,hii ni ngoma ya pili kuachia kwa mara moja kwani tayari  ameachia ngoma ya iitwayo ‘Sikomi.

Isikilez hapa ngoma hiyo ya niache’






na hii hapa chini ni Ngoma yake ya "Sikomi"



No comments:

Post a Comment