Sungo blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli amewaapishaMajaji 2, Mwanasheria Mkuu wa Serikali naNaibu Mwanasheria Mkuu wa Serikalialiowateua tarehe 01 Februari, 2018.
Walioapishwa kuwa Majaji ni Mhe. GeorgeMcheche Masaju na Mhe. Gerson JohnMdemu.
Mhe. Rais Magufuli amemuapisha Mhe. Dkt.Adelardus Lubango Kilangi kuwaMwanasheria Mkuu wa Serikali na Mhe. Paul Joel Ngwembe kuwa Naibu MwanasheriaMkuu wa Serikali.
Matukio yote mawili yamehudhuriwa naMakamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan,Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa,Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. IbrahimHamis Juma, Naibu Spika wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Tulia Ackson Mwansasu, Katibu MkuuKiongozi Mhe. Balozi John Kijazi na viongoziwakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.








No comments:
Post a Comment