Breaking




Thursday, 8 February 2018

WEMA SEPETU NA DIAMOND WAKUTANA MAHAKAMANI KISUTU

Sungo blog

KISUTUMsanii Wema Sepetu leo amefikaMahakamani kufuatilia kesi yake ya kukutwana msokoto wa Dawa za Kulevya aina yaBangi

Wema amefika Mahakamani hapo akiwa naWakili Albert Msando aliyetangaza kumteteabaada ya Wakili Peter Kibatala kujitoakumtetea msanii huyo

Wakati huo huoMsanii wa Muziki nchini,Naseeb Abdul(Diamond Platnumznayeamefika Mahakamani hapo na Mzazi mwenzake Hamisa Mobetto kwa ajili ya kusikiliza shauri lao la matunzo ya mtoto

Shauri hilo la matunzo ya mtoto lilifunguliwa na Hamisa Mobetto akiomba Mahakama iamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi

No comments:

Post a Comment