Kufuati jukwaa la wahariri nchini kutoa onyo kali kwa CHEDAMA baada ya kile kinachosemekana kuwa CHADEMA iliwazuia waandishi wa habari wa TBC kuingia kwenye mkuta wa Tundu Lissu na waandishi wa habari juzi baada ya kupatiwa dhamana, mchoraji maarufu wa katuni nchini Masoud Kipanya(KP) ameibuka na kuandika ujumbe ufuatao kwenye ukurasa wake wa Twitter
Saturday, 29 July 2017
Home
/
siasa
/
MSAOUD KIPANYA AIKINGIA KIFUA CHADEMA SAKATA LA KUWAFUKUZA WAANDISHI WA HABARI WA TBC
MSAOUD KIPANYA AIKINGIA KIFUA CHADEMA SAKATA LA KUWAFUKUZA WAANDISHI WA HABARI WA TBC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







No comments:
Post a Comment