Breaking




Saturday, 29 July 2017

YANGA MATATANI KWA KUMSAJILI MTOTO MDOGO WA SERENGETI BOYS




Siku mbili tatu zikizopita tulipata taarifa kwamba klabu ya yanga imemsajili golikipa wa Serengeti Boys,Ramadhan Kabwili kwa mkataba wa miaka mitano.

Kufuatia  usajili huo kuna taarifa kwamba wenda yanga wakapewa adhabu kutokana na kukiuka kanuni za usajili ambazo zinaelekeza kwamba mchezaji chini ya umri wa miaka 18 hatakiwi kusaini mkataba wa zaidi ya miaka mitatu.kabwili ana miaka 16 miezi mitatu ijayo atatimiza miaka 17.

Zaidi sikiliza  video hii hapa chini kuhusu sakata hilo



No comments:

Post a Comment