Breaking




Wednesday, 20 December 2017

MASHEKHE WANNE NA WANAFUNZI 95 WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA UGAIDI

Sungo blog

 

Viongozi 4 wa dini ya kiislamu pamoja na wanafunzi wao 95 wameshikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuhusika na vitendo vya Ugaidi Mjini Nairobi nchini Kenya.

Imeelezwa kuwa watu hao wamekamatwa kupitia operesheni maalum ambayo imekuwa ikiwasaka wahalifu wanaotumia kivuli cha dini kupanga uovu

Viongozi mbalimbali wa dini hiyo wamekemea kitendo cha kukamatwa kwa viongozi hao ambao ni walimu wa madrasa na wanafunzi wao na kuhoji, Je kufundisha dini/quran imekuwa hatia? 

Zaidi angalia video hii hapa chini



No comments:

Post a Comment