Breaking




Thursday, 24 August 2017

FID Q: OMMY DIMPOZ HOVYO SANA,AMESABABISHA HATA WIMBO WANGU WA "FRESH" NIUCHUKIE




 

Msanii wa Hip Hop Fid Q amedai msanii Omy Dimpoz amefanya jambo la hovyo sana kiasi kwamba hadi sasa haupendi wimbo wake wa fresh

Ommy Dimpoz alitupia picha akiwa na mama Diamond na kuandika maneno ya kumdhalilisha
kitu ambacho fid Q hakutegemea kufika huko kwa kuwa muziki ni burudani na msanii kumdiss mwingine kupitia muziki kunachangamsha game ila sio kutukana wazazi



No comments:

Post a Comment