Breaking




Monday, 21 August 2017

Picha,Usher amerudi studio kwa nguvu zote kufanya album mpya na Jermaine Dupri



By Sungo boy| August 21, 2017

Sambaza Hii Kwa Marafiki

Usher amerudi studio kwa nguvu zote kufanya album yake mpya na producer Jermaine Dupri kwenye studio zake huko Hallandale Beach, California.

Picha zinamuonyesha Usher akiwa na Dupri kwenye lebo ya So So Def label na producer Dupri, muimbaji Rico Love na mwandishi wa nyimbo Bryan-Michael Cox, aliyefanya kazi na Usher na Dupri kwenye album ya “Confessions Pt. II,” na “Burn” kwenye album ya Confessionsalbum ya mwaka 2004.

#SungoNEWS

WEKA COMMENTS HAPA

RELATED ITEMS

STORI ZILIZOSOMWA ZAIDI

JAY-Z Kafunguka kuhusu beef na Future na Kanye West,Kuchukiwa kwa TIDAL,Kuacha kufanya video za Muziki...JAY-Z>Kuhusu beef Na Future>Sina tatizo...
Mahakama yamuweka kwenye uangal

No comments:

Post a Comment