Breaking




Thursday, 24 August 2017

TFF YAOMBA RADHI KWA MAKOSA YA KIUANDISHI KWENYE NGAO YA JAMII WALIYOPEWA SIMBA JANA



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeomba radhi wanafamilia wote wa mpira wa miguu nchini kutokana na makosa ya kiuandishi yaliyoonekana kwenye utambulisho wa Ngao ya Jamii iliyotolewa Jumatano Agosti 23, 2017 kwa klabu ya Simba.

Read more »

No comments:

Post a Comment