Saturday, 2 September 2017

SHEREHE ZA MAHAFALI DARASA LA SABA 2017 ACCT PRIMARY SCHOOL-SEGEREA ZILIVONOGA

Sungo blog


Shule ya Msingi ACCT ambayo inpatikana maeneo ya Segerea jijini Dar es salaam leo Jumamosi Septemba 02, 2017 imefanya sherehe za mahafali ya ya sita tangu kuanzishwa kwa shule hiyo, kuwaaga vijana 37 wa darasa la saba wanaotarajia kuanza mitihani ya kuhitimu wiki ijayo.

Sherehe hiyo ambayo Mtilah Blog ilialikwa kama mdau wa maendelo ya elimu ilisheheni burudani mbalimbali .

Zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio mbalimbali


 
Mgeni Rasmi anaingia uwanjani na kupokelewa na vijana wa Scout 


 

Brass Band inaingia uwanjani





Wahitimu (Darasa la Saba wanaingia uwanjani kwa madowido)wakiingia uwanjani 







Wanafunzi wanaobaki wanaimba Shairi 






Wanafubzi wanaobaki wakifanya Igizo



Kulia Mgeni Rasmi, Mussa waziri akiwa na mkuu wa shule


Wanafunzi wanaobaki wakifuatilia kinachoendelea uwanjani


Wahitimu











Wahitimu wakicheza kwaito


Mhitimu anafafanua alichojifunza darasani


P-unit class



Mgeni Rasmi anagawa vyeti kwa wahitimu





Mzazi na mwanae















Wazazi wakifurahi na wanao







Miss ACCT Primary 2017 ambae alichaguliwa kwenye hafla hiyo


Vijana wa Sarakasi wakifanya yao


Wanafunzi wanaonesha igizo

HAPA CHINI NI VIDEO ZA MATUKIO MBALIMBALI

PICHA ZOTE NA Karim Mtila 
Video zaidi za sherehe hiyo zinapatikana Youtube channel ya Mtilah Blog

Read more »

No comments:

Post a Comment