Breaking




Tuesday 10 October 2017

MARIE STOPES TANZANIA YATOA HUDUMA YA KUPIMA MAGONJWA MBALI MBALI BURE KWA WA SIKU TATU

Sungo blog

Mtaalamu wa dawa za Usingizi na ganzi wakati wa operesheni, Dk. David Chiunga, akimpima mapigo ya moyo mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu bure wakati wa hafla ya uzinduzi wa hospitali ya Marie Stopes iliyoboreshwa na kituo cha kupokea simu za wateja, Mwenge jijini Dar es salaam hivi karibuni.

Mtaalamu wa masuala ya afya katika Hospitali ya Marie Stopes, Neema Mgumba akimpima mapigo ya moyo mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu bure wakati wa hafla ya uzinduzi wa hospitali ya Marie Stopes iliyoboreshwa na kituo cha kupokea simu za wateja, Mwenge jijini Dar es salaam hivi karibuni.

Mtaalamu wa masuala ya afya katika Hospitali ya Marie Stopes, Joan Rwechungura akichukua sampuli ya damu kutoka kwa mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma za matibabu bure wakati wa hafla ya uzinduzi wa hospitali ya Marie Stopes iliyoboreshwa na kituo cha kupokea simu za wateja, Mwenge jijini Dar es salaam hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment