Breaking




Wednesday 14 March 2018

RAY VANNY KUFUNGA NDOA MWAKA HUU

Sungo blog

Baada ya Diamond kuomba baraka kwamama yake kuhusu kufunga ndoa mwakahuunaye Rayvanny amedokeza kuhusu sualahilo hilo la ndoa.

Dokezo hilo la ndoa limekuja  wiki chachebaada ya msanii huyo na mpenzi wakekurejea kutoka  Mkoani Mbeyanyumbanikwa akina Rayvanny.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, Ray aliweka picha yake akiwa katika vazi lasuti na kuandika “Bwana Harusi” naye mpenziwake Fayvanny hakubaki nyuma na akuamuakujibu kuashiria wapo katika michakatao hiyoya ndoa.

“Ohh bby ❤ I can’t wait for the day 💍………🙈😷 …………….. & you will be mine forever (sooooooon) @rayvanny ❤”

No comments:

Post a Comment